Kuna gani hapa jameni? Nimesikia serikali imeanza kampeni kabambe ya kurecover Sh12 billion za Hustler Fund loans ambazo hazijarudishwa, na wanatumia IDs zetu kutrace defaulters. Hii inaweza kuathiri vipi hustlers wetu ambao walichukua hizo mikopo kukuza biashara zao ndogo? Ni mzigo kwa wengi ama ni muhimu kulipa ili fund iendelee kusaidia wengine? Tupe maoni yako!
Only 0 members so far — this community is just getting started. Join free on Teka, reply to posts and earn real money from your content.