Sasa mabro na masis! Tumewasikia wengi mkiongea kuhusu Hustler Fund na ile story ya repayments. Kumbe KSh 12.5 billion bado iko nje, na serikali inasisitiza IDs zetu zimefungwa kwa hizo loans. Hii inamaanisha huwezi kutoroka kirahisi! Mnadhani nini inafaa kufanyika, na wewe umelipa ama bado unajitafutia?
Only 0 members so far — this community is just getting started. Join free on Teka, reply to posts and earn real money from your content.