Wasee, hii soko ya wachezaji inazidi! Hadi goalkeeper wetu Katasi amehamia K'Ogalo kutoka Ingwe, mnasema aje? Ni kama tunasonga mbele lakini pia kuna pressure kwa Harambee Stars na AFCON 2027 hapa nyumbani. Na baada ya President Ruto kupea Ingwe KSh35 Million, mnafikiri next season itakuwaje kwa FKF Premier League? Tupanue mawazo, nani anatuletea kombe mwaka huu?
Only 0 members so far — this community is just getting started. Join free on Teka, reply to posts and earn real money from your content.