Leo nimeona kuna buzz mingi kuhusu zile TSC promotional posts za walimu. Watu wangu, kama wewe ni mwalimu, kuna zaidi ya 1,600 chances za Deputy Headteacher, Deputy Principal, na Senior Master II zikiendelea. Deadline ni Sept 14, so tusilale! Pia, Public Service Commission ina vacancies za Data Commissioner na NG-CDF board, deadlines ziko karibu. Mnafaa hizi gani, ama mko na plan ingine?
Only 0 members so far — this community is just getting started. Join free on Teka, reply to posts and earn real money from your content.
← Back to Kenya Government Jobs & Vacancies · All Communities